Mau Mau Original Trust yalalamikia kundi bandia 

Naibu mwenyekiti wa Mau Mau Original Trust nchini, Daniel Mwangi, ameisihi Serikali kulichukulia hatua kundi analodai kuwa ni bandia linalotumia jina la asasi hiyo kuendesha shughuli zake. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Narok, Mwangi alisema kuna haja kwa vyombo vya usalama kufanya uchunguzi wa kina kuhusu kundi hilo, akidai kuwa limekuwa likiwahadaa wanachama na…   

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *