Naibu mwenyekiti wa Mau Mau Original Trust nchini, Daniel Mwangi, ameisihi Serikali kulichukulia hatua kundi analodai kuwa ni bandia linalotumia jina la asasi hiyo kuendesha shughuli zake. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Narok, Mwangi alisema kuna haja kwa vyombo vya usalama kufanya uchunguzi wa kina kuhusu kundi hilo, akidai kuwa limekuwa likiwahadaa wanachama na…
Related Posts
Kenya sharpens digital trust agenda as cyber threats surge, says ICT leadership
- CoreNews Africa
- April 23, 2026
- 0
The government has intensified its push to strengthen digital trust, governance, and cybersecurity as it deepens its transition into a fully digitized economy marked by […]
County calls for integration of indigenous knowledge in wetlands conservation
- CoreNews Africa
- February 3, 2026
- 0
Nyeri County Executive for Water, Irrigation, Environment and Climate Change, Frederick Kinyua, has urged communities to reintroduce indigenous knowledge and practices in the conservation of wetlands. Kinyua […]
Mgombeaji wa UDA ashinda uchaguzi mdogo wa Emurua Dikirr
- CoreNews Africa
- May 15, 2026
- 0
Mgombeaji wa kiti cha ubunge wa gatuzi dogo la Emurua Dikirr katika Kaunti ya Narok kupitia chama cha United Democratic Alliance (UDA), David Keter almaarufu […]